UNAUSHUHULIKIAJE MOYO ULIOUMIZWA??



 Tunaumizwa ktk mazingira tofauti sana

Tunaofautiana namna ya kuumia na hali ya kukabiliana na maumivu

Inauma zaidi ikiwa aliyekuumiza ni mtu wa karibu na wewe

Unafanyaje???

1. Jitie moyo kwamba utavuka tu

2. Ongea na mtu anayejali, usijifungie au kuficha. Mwone mshauri ikibidi

3. Wewe ni binadamu ruhusu maumivu na machungu, usiyafiche au kuyakataa. Muda huponya.

4. Kama unaimani, peleka moyo wako uliyoumia kwa Mungu wako. Omba ila usilalamike

5. Jipe muda wa uponyaji (acha kuvuta hisia za mumivu)

6. Jifunze kitu kwenye tukio zima

7. Tafuta kitu cha kushukuru au kuwa positive hata kama ni kidogo

8. Kama kuna cha kusamehe basi samehe na achilia

Mtu wa kwanza mwenye mchango mkubwa wa kukutoa hapo ulipoumizwa ni wewe mwenyewe

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA