KWANINI WANAWAKE WA SASA WAKIINGIA MIGOGORO KWENYE MAHUSIANO AMA NDOA ZAO NDO HUJIITA MA-IRON LADY🀦🏻‍♂️





Kwanza nieleweke wazi MAPENZI ndo chanzo cha pilika pilika za wanawake kwa sasa, Maana wanajaribu kutafuta NGUVU zao wenyewe ili wasiwe wanyongeπŸ˜‚πŸ˜‚
Zamani Wanawake walidumu kwenye MAHUSIANO na NDOA zao kwa sababu waliweza kumtii Mwanaume, hata hivyo wanaume wa zamani nao walitimiza majukumu yao kwa MAHUSIANO na NDOA zao, ila kwa sasa wanaume nasi tumewavunja mioyo Wanawake kwa sababu tunakwepa majukumu yetuπŸ’―
Wanaume nature yetu kupewa utii na Mwanamke, wakati huo unajikuta uko chini ya Mwanamke kwamba yeye ndo MFADHIRIπŸ˜‚
Mwanamke kwa nature ni MTII ila kwa sharti la Mwanaume kumpa stahiki zakeπŸ’―
Ni sababu gani Mwanamke anafikia kujiita IRON LADY?
πŸ‘‰πŸΌ KWA SABABU ANAJARIBU KUONYESHA WATU AMA JAMII INAYOMZUNGUKA KWAMBA MAHUSIANO AMA NDOA HAIMPI SHIDA KIKUBWA ANAWEZA KUJIHUDUMIAπŸ“
Nawaambia ukweli HAKUNA MWANAMKE ANAHIMILI VITA YA MAPENZI BILA KUWA NA MBADALA.
Hawa ma-iron lady ili apate ujasili wa kujifanya MAPENZI hayampi shida, lazima X yupo nearbyπŸ˜‚
Au kuna mmoja kati ya wale watongozaji aliwekwa kama KIPORO kwa ajili ya kupambana na STRESS za MapenziπŸ˜‚πŸ˜‚
Kichwa cha Mwanamke kinatulia zaidi awapo na Mwanaume wa kutengeneza ATTENTION kwake hata kama hampendi, Wanawake ni wabinafsi juu ya MAPENZI Yaani AMANI wanaipenda wao zaidi bila kujari upande utoao AMANI kwako, Ndo maana wanawake wanaojua kumpa AMANI mwanaume wanakuwa kwenye USALAMA ZAIDI japo wanawake hawajui hiloπŸ’―
Iron Lady makini ni yule anayejua kupambana na matatizo yake ki MAHUSIANO AMA NDOA bila mshenga wala wazaziπŸ’ͺ🏼
Hawa wengine tuwape cheo cha UBINAFSI kwamba wanajiandaa kwa kutunza MICHEPUKO Ili migogoro ikianza awepo mtu wa kumjari, Kinyume chake ni WABABEπŸ“

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA