Ukitaka heshima kwa Gharama Ya juu Utalipwa Dharau Kwa bei Nafuu.

"Ukitaka heshima kwa Gharama Ya juu Utalipwa Dharau Kwa bei Nafuu.."
"Usinunue heshima kwa gharama ya kuwatusi wengine"
"Usitafute sifa (jina) kwa kuwachafua wengine"
"Usilazimishe lisilo wezekana fanya unayo yaweza"
"Ninacho fahamu Mimi hata ukiwa bingwa wakuchukia uchafu kiasi gani "
"Huwezi kuchimba shimo la taka sebuleni"
"Heshma inatoka kwa watu ni vyema tukafahamu hakuna kitu kizuri kama kujiheshimu mwenyewe na kuishi na watu vizuri"
"Usimkimbie aliye na mpira utakosa pasi "
Image may contain: 1 person, standing

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA