MWANAUME UJUE UDHAIFU WA MWANAMKE NA TABIA ZAKE AWAPO MPWEKE


Mwanamke kwa maumbile ya ki jinsia ni watu wanaopenda zaidi HURUMA kuliko hata UPENDO wenyewe, Wanaume wameshindwa kumjua Mwanamke na mara nyingi wamembebesha lawama kwamba WANAWAKE HAWARIDHIKI
Hakuna Mwanamke ambaye haridhiki isipokuwa WANAUME ndo hamjui kupambana na mood za Mwanamke.
Jiulize swali hili;-
πŸ‘‰πŸΌ KWANINI BINTI NI RAFIKI WA BABA🀦🏻‍♂️
Ni wamama wachache sana ambao unakuta ana urafiki na Binti yake laaa hana mtoto wakiume, na kukuta baba ni rafiki wa kijana na anaye Binti Basi lazima Binti awe zaidi, ni mambo ya kisayansi hayo ndo maana TABIA NJEMA MTU ANAJIFUNZA KWAO kwamba ukaribu wa mzazi na mtoto huo ndo utamjenga kwenye maisha yake, Mwanamke ni mpweke sana akikosa Mtu wa kumpa AMANI
Wanaume wengi wanabembeleza kabla hajavuliwa nguoπŸ˜‚πŸ˜‚
Akiisha kula mzigo πŸ‘™ anajifanya mbabe na hapo ndipo kesi ya MAPENZI huanzia, Naomba nielewe Mwanaume;-
πŸ‘‰πŸΌ MWANAMKE ANAHITAJI HURUMA NDIPO AKUELEWE ZAIDIπŸ•ΊπŸ»
Mwanaume anayepata nafasi kubwa kwa Mwanamke ni yule ajuaye kucheza na upande huu, Ukimhurumia Mwanamke hata kama hujampa kitu ATAKUWA NA TUMAINI YA KUPATA AKITAKACHO kwa sababu kuna hali ya MAPENZI huinuka ndani ya Mwanamke akihisi ANAHURUMIWAπŸ˜‚πŸ˜‚
Gari, Nyumba, Shamba havina nguvu Kwenye MOYO WA MWANAMKE zaidi ya HURUMA YAKO MWANAUME πŸ’―
Kama huna HURUMA kamwe huwezi kummiliki Mwanamke mwenye AKILI 🧠 TIMAMU kwa sababu ndani ya UPENDO WA DHATI πŸ’˜ wa Mwanaume Kuna HURUMA.
Image may contain: 1 person

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA