USIENDEKEZE HISIA KUKUPA UPOFU WA AKILI

 



Hata kama unampenda mtu kiasi gani lakini matendo yake hayaendani na vile unavyotaka awe,basi ni bora umwache AENDE,,,,haitakiwi kuvumilia hata mambo yasiyofaa eti kwasababu unampenda sana na huwezi kumuacha,,kama anakushauri mambo yasiyofaa ni bora umwache aende kuliko kuingia katika matatizo ambayo hukutalajia,,,,,Usiendekeze hisia kukupa upofu wa akili yako,,kutofanya maamuzi sahihi ya kumpata mtu sahihi ambaye atasahihisha mapungufu yake,,,,kumbuka unaweza kuongozwa na hisia na ukashindwa kufanya maamuzi yaliyo sahihi  lakini endapo utaongozwa na maamuzi sahihi basi hisia sahihi zitakuwa katika mapenzi yenu.

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA