Je Unajua nini Maana ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke❓❓❓


Kwa wale wanaopenda kuvaa shanga najuwa wengi mtakuwa mnafahamu rangi na maana zake lakini kwa wale wasiojuwa je ama wanaopenda kuvaa lakini wanajinunulia rangi yeyote na kwa Wanaume wanaopenda Wake zao wavae shanga ni kusisimuana tu je mnafahamu zinamaanisha nini haya sasa..
💕💕💕💕💕👈👈
katika swala la mahaba shanga hutumika kusisimuana haswa pale  Mume wako anajuwa jinsi ya  kuzitumia vizuri na unaweza kuvaa hata kumi ukitaka kuna wengine wanananunua rangi kama pink, blue, gold hizi rangi hazina maana kwenye sita kwa sita ni urembo tu kupendezesha kiuno.
👂👂👆
Kiuno cha Mwanamke hupendeza zaidi na kuvutia kama kikipambwa kwa kukivalisha shanga,Nami nakupa maana na kazi ya shanga hizo….
👇👇👇👇👇👂👂
1: UNAWEZA UKAZIVAA KAMA UREMBO..
💕💕💕💕💕💕💕👆
Kuna baadhi ya Wanawake siku hizi wanapenda kuvaa shanga kama urembo,na kusema kweli kiuno cha Mwanamke kikivalishwa shanga kinapendeza na kuongezeka mvuto,Sio tu kivutio kwa Wanaume kwenye NDOA , bali hata kwao Wanawake pia,Mke ukivaa shanga kiuno chako kitapendeza .
Kama unatamani kujaribu,ondoa uoga,kanunue kisha na Wewe uvae pia.
👂👂👈👆💕
2: HUONGEZA HAMU NA MZUKA WA KUKATA KIUNO WAKATI WA KUPEANA RAHA..
💕💕💕💕👆
Hushawahi kuwaona baadhi ya Wanawake wanapokuwa wanacheza ngoma,kiunoni huvaa kitu kinachoitwa kibwebwe ambacho huwafanya wajisikie wepesi wa kukata miuno,baadhi ya Wanawake pia huvaa shanga kwa ajili ya kufanya iwe rahisi kwao kukatika na viuno vionekane kweli vinakatika.Na pia wanasema sio tu zinawasaidia kukata kiuno vizuri lakini pia zinaongeza mvuto Kwa Mume akiangalia kiuno kilichovalishwa shanga kikikatika.
👆👂👂
3: UNAWEZA UKAZIVAA KWA AJILI YA KUMPA HAMU YA KUPATA RAHA MWANAUME..
💕💕💕💕💕💕
Asilimia kubwa ya Wanaume wakiona kiuno kimevalishwa shanga,haijalishi anafanya lipi muda huo Lazima mboo zao zipate shida ya kujizuia kusimama bila kupenda.Ki ukweli Mume  akiziona shanga zipo kiunoni lazima upate hamu kama ni Mwanaume wa ukweli,kwahiyo kama Mke kama huna mazoea ya kuzivaa,na ulikuwa unapenda kufanya au kuongeza kitu kipya kwenye uwanja wenu wa kupeana raha na utamu,basi nenda kanunue shanga,kisha uzivae ukiwa peke yako kwa ajili ya kumsuprise Mume wako.
Utajua kama anazipenda kwa jinsi atakavyokuwa bize kuzishikashika na kuzitomasa muda wote mkiwa mnapeana raha.
👂👂👂👂👈
4: UNAWEZA UKAZIVAA UKIWA UNAMAANISHA KITU.
💕💕💕💕👆👆👆
Kuna baadhi ya Wanawake wanazivaa shanga kwa kutumia rangi ambazo zitaleta maana au ujumbe ambao anataka umfikie Mume wake aliyemvalia,mara nyingi huwa inaleta maana au ujumbe utafika kama Mume muhusika atakuwa anaelewa maana ya hizo rangi za shanga.
💕💕💕💕💕💕💕
👂👂
ZIFUATAZO ni rangi za shanga na maana yake..
👇
NYEKUNDU….🔴🔴🔴🔴🔴
💕💕💕💕💕👆
Kama ukikuta mwanamke amevaa shanga za rangi nyekundu,basi ujue yupo kwenye siku zake ( Hedhi ). Kwa hiyo unaweza kumuuliza ili upate uhakika zaidi usije ukaingiza mashine ukaishia kujichafua.
👆
NYEUPE"..⚪⚪⚪⚪⚪"
💕💕💕💕💕👆
Ukikuta Mke wwko amevaa shanga za rangi nyeupe basi ujue kuwa kwa muda huo,Hana tatizo lolote litakalomzuia kukupa wewe raha,kwahiyo upo free kufanya chochote kwenye mwili wake, ila usimfire tu maana kufanya hivyo ni DHAMBI 1 Wakorintho 6:9-10
                    👆
NYEUSI..⚫⚫(SHANGA RANGI NYEUSI💕👈)
💕💕💕💕👆
Ukikuta Mke wako amevaa shanga za rangi nyeusi,basi ujue kuwa yupo tayari kukupa raha,lakini tatizo bado hajanyoa nywele zake za sehemu za siri(#MAVUZI) kwa hiyo waweza kumnyoa kama kweli upo romantic au ukaacha siku hiyo ipite ili anyoe baadaye au kama hamu imekuzidia sana unaweza ukaendelea kama kawaida.😁😁😁😁😁😁👈

5:  MKE 💕👆 ANAWEZA UKAZIVAA ILI UJIONGEZEE RAHA MWENYEWE WAKATI WA KUPEANA RAHA..KATIKA TENDO LA NDOA
💕💕💕💕
Kiuno cha Mwanamke kimeumbwa na hisia za kimahaba,na ndio maana Mume akikitomasa au kukipapasa,lazima Mwanamke apate raha.Ukiwa Mume unapewa  raha na Mke wako  amevaa shanga,Wakati wa kupashana joto,usisahau kuzichezea shanga zake kiunoni.Kama style mnayotumia kwa wakati huo inaweza kuruhusu mikono yako ifike kiunoni pake basi peleka mikono yako,Chezea shanga kwa kuzipapasa kutoka juu kwenda chini au kutoka chini kwenda juu,au vyovyote unavyoweza.ukifanya hivyo hizo shanga zake zitakuwa kama zinamtekenya,na atapata raha na utamu wa kipekee sana.Utaenjoy makelele na miguno ya kimahaba atakayokuwa anazidisha ili uendelee kufanya mwanzo mpaka mwisho.😁😁😁😁👈

#ZINGATIA👇👇👇👇
KAMA UKIONA MPENZIO HAFURAHII SHANGA,UNAWEZA KUVAA CHENI,IWE YA GOLD AU SILVER…sababu ni kuwa ni raha sana kukipamba kiuno cha mwanamke.

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA