💕SHANGA ZA KIUME💕


*_💖aà💖_* 

*_Shanga ni vazi lililozoeleka kuvaliwa na wanawake tu kwa ajili ya mapambo na kuwavutia waume zao,lakini vilevile wanaume pia nao wanahitaji kujipamba kwa ajili ya wake zao._* 
💫
_Kutokana na Raha zinazopatikana kwa mwanamke kuvaa shanga basi wanaume na wao hawakuwa nyuma wako walioamua kujitafutia pambo hili kwa ajili hiyo hiyo ya kuwapambia na kuwaridhisha wake zao._
💫
_Wengi watajiuliza hee! makubwa tena haya? wanaume nao wanavaa shanga ee !! kwani  haramu?_
💫
_Kwani mume nae hastahiki kujipamba kwa  ajili ya mkewe? Ni zipi hizo shanga za kiume ?Angalia hapo chini👇_
💫
_Shanga za kiume huwa ni ndogo kulingana na kichwa cha dhakari yake. Na dhakari ya mume inavovishwa shanga hupendeza na huvutia kimahaba kama kiuno cha mwanamke kinapovishwa shanga._
💫
_Hapana budi si kwa mke pekee bali mume pia kujipamba. Wanandoa daima wanafaa wawe safi daima kila mmoja kwa ajili ya mwenzake._
💫
_Kujipamba huku ni kwa kuvaa vizuri na kujitia manukato. Kujipamba kunarithisha mapenzi na hujenga na kukuza sababu zote zinazopelekea katika kuzoeana._
💫
_Ibn ‘Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhum) amesema: “Mimi napenda kujipamba kwa ajili ya mke wangu kama  nilivyokuwa napenda yeye ajipambe kwa ajili yangu”._
💫
_Kujipamba ni haki ya wanandoa wote wawili  mwanamme na mwanamke. Ni vizuri sana tusilidharau jambo hili la kujipamba na kuona si la muhimu kwani mwenye kuhitajia maisha ya furaha ya ndoa na yenye matokeo mazuri hana budi kujishughulisha na kujipamba kwa ajili ya mwenza wake._ 
💫
_Shanga ya mwanamme inachukuwa nafasi ile ile ya shanga mwanamke katika kuridhishana mke na mume wakati wa tendo la ndoa Shanga hii  hutumika katika kuamsha hisia za mwanamke pale ambapo kabla ya tendo la ndoa kufanyiika pale unapoonekana kuanza  Kwa kutumia vianzisho mbali mbali vya mapenzi ,kwa mume kuvaa shanga ni kianzio kizuri cha kumfanya mke ajisikie raha kabla jimai._
💫
_Wanawake wataalam huchukua uume wa mpenzi wake na  kuuvisha shanga kwa kuupenyeza katika sehemu ya kicha cha uume wa mume mke huanza  kuuviringisha juu ya shanga/ hiyo mithili  ya mtu anaepiga type. Mwanamme huona raha anaposhikwa uume wake nakuzichezewa shanga._ _Mwaname nae huchukuuwa uume wake na kuungiza kwenye uke wa mkewe na kukipigapiga kinembe kwa kutumia shanga Kinembe ni moja katika maeneo muhimu sana ambayo yanaamsha hisia za jimai kwa mwanamke. Kukichezea kwa mwanamme ni muhimu sana ili kusisimsha hisia za kutamani kuingiliwa kwa mwanamke._
💫
_Jinsi ya kukichezea inatakiwa iwe kwa upole na uangalifu mkubwa wakati mume anapokichezea kwa kichwa cha dhakari huku mke zinamgonga zile shanga mwanamke hupata raha ya ajabu na kusisimkwa na mwili na baada ya hapo ndipo anapoweza mwanamme kuzifua shanga zile na kuziweka kando hapo tena  kumuingilia mkewe na kukamilisha haja na matamanio yao._
💫
_Shanga hizi za kiume huvaliwa tu pale kwenye vianzishi na vodokezi kabla ya jimai unapokuwa tayari uwanja wa mapambano uko tayari na firimbi ishalia basi shanga ya mume hukaa pembeni._

*💝 @alhinawy💝*

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA