MAISHA KAMA UNA HIZI TABIA BASI UMASKINI UMEKUSINDIKIZA. Please share kufatilia maisha ya watu kila wakati. Wivu wa maendeleo ya wengine.Kuomba omba hela au kukopa kila maraKua online mitandaon kila wakati Kujipendekeza kuliko pitilizaKupiga piga picha vyakula, mahotelini na kwenye magari ya watu.Kujieleza saaaaaana kwa watu.Kusifia sifia wenye pesa( uchawa)Kupenda saaana kubetiKujichubua,matajiri hawajichubuagi. kwenda gym kutengeneza miili kwa lengo la kuvutia wengine na sio afya. Kudharau kazi. Mengine malizieni . Share na mtu moja kisha weka maoni yako DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA