KAMA UNA HIZI TABIA BASI UMASKINI UMEKUSINDIKIZA. Please share
kufatilia maisha ya watu kila wakati.
Wivu wa maendeleo ya wengine.
Kuomba omba hela au kukopa kila mara
Kua online mitandaon kila wakati
Kujipendekeza kuliko pitiliza
Kupiga piga picha vyakula, mahotelini na kwenye magari ya watu.
Kujieleza saaaaaana kwa watu.
Kusifia sifia wenye pesa( uchawa)
Kupenda saaana kubeti
Kujichubua,matajiri hawajichubuagi. kwenda gym kutengeneza miili kwa lengo la kuvutia wengine na sio afya.
Kudharau kazi.
Mengine malizieni . Share na mtu moja kisha weka maoni yako