KILA MWANAUME ANA AINA MOJA YA MATAMANIO YAKE KWA MWANAMKE

 

💯
Mwanaume Katika kutamani Mwanamke huwa na aina moja ambayo humfanya kuwa dhaifu📍
Yawezekana ikawa miguu, Mapaja, Macho, Rangi ama wajihi "UREFU au UFUPI" na hawezi kuwa na vyote ila kimoja😂😂
Muda mwingine hata tembea ya Mwanamke ndiyo ikawa chanzo cha udhaifu wake kwa Mwanamke, Ila iko shida kubwa kwa wanaume nayo ni:-
👉 PINDI ANAPOMPATA MWANAMKE HUYO HUMZOEA HARAKA NA AKIONA MWINGINE KAMA ALIYE NAE KWA VIGEZO VILE VILE HUMTAKA.
Na hapo ndipo anguko la wanaume huinuka, Kwa sababu katika UTASHI ule ule ila wanawake tofauti na ukifuatilia unabaini hakuna anayemzidi mwenzie ISIPOKUWA ni ule ugonjwa wa wanaume kumlala Mwanamke na kumzoea kisha kukosa TAMAA juu yake🤔
Mwanaume anapoacha kumtamani Mwanamke aliye nae maana yake ile tamaa halisi ya Mwanaume inatazama Mwanamke Mwingine lakini kwa UTASHI ule ule wa kile ambacho humpa udhaifu Mwanaume😂😂
Yaani unakuta Mwanaume ana wanawake watano na wote ni aina moja ya MATAMANIO lakini wote hao haoni aliye zaidi ya mwingine hata anaendelea kupepesa macho huko nje kutafuta Mwanamke Mwingine wa aina ile ile kama hao watano🤦‍♂️
Ndipo utakubaliana nami kwamba :-
👉 TAMAA YA MWANAUME HUMALIZWA NA MWANAMKE MMOJA AMBAYE NDIYE AMPENDAYE📍
Ukiona Mwanaume ameacha uzinzi ujue wewe ndiye kiboko yake, lakini kama kutwa mnagombana kisa usaliti ujue BADO TAMAA YAKE HUJAWA CHANZO CHA KUIMALIZA.
May be an image of 1 person, ocean and text that says "shutterstock.com 1029619705"

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA