ACHA KABISA KUFANYA MAMBO YAFUATAYO KWENYE MAPENZI

 

💔ACHA
Kumlilia mtu ambae kule aliko ana furahi na mtu mwingine kabisa na hata jina lako yawezekana ameshalisahau.✍️✍️
💔ACHA
Kukakata tamaa ya kuingia ktk Ndoa kisa tu kila mwanamke au mwanaume uliye mpata hakuonyesha nia kuishi nawe. Wapo wengi na bora zaidi yako na hawajakata tamaa vuta subira tu muda muafaka upo!✍️✍️
💔ACHA
Kujidhalilisha au kujidharau kisa kipato chako kidogo sio vizuri ,ongeza juhudi upate zaidi tena kile kilicho halali. Ili mradi unaishi wewe ni tajiri wa baadae ukiamsha ndoto zako.✍️✍️
💔ACHA
Kumchukia mtu aliye kusababishia maumivu na matatizo iwe ndugu,rafiki au mpenzi. Badala yake usisahau ulicho jifunza kwa alicho kufanyia ili usirudie makosa.✍️✍️
💔ACHA
Kujipendekeza kwa mwanaume au mwanamke ambae anakuona wa kawaida,. Yaani mawasiliano yenu mpaka umuanze wewe. Akikuanza yeye basi ujue ana shida na ngono au pesa.
Achana na mtu wa hivyo ni kichomi.✍️✍️
💔Ndoa (Mahusiano) yenye furaha ni yale yenye mawasiliano ya pande zote mbili ndugu yangu!✍️✍️
💔Yenye kuheshimiana na kuvumiliana katika hali zote na sio kwenye raha tu.
Yenye kuridhishana kwa pande zote na sio kumridhisha yeye tu, huo ni ubinafsi katika mahusiano na yanakondesha na kuua.✍️✍️
💔Achana na mapenzi ya kichokoraa pesa mbele kama tai, ukiwa nayo unapendwa ila ukikosa ni adui, nasema achaaa!✍️✍️
♥️Allah atakupa wa kufanana na ww
fanya subra na kusali tumehusiwa
hilo namuomba Allah atupe sote
wenza wenye kher nasi kwa wakati
sahihi na watu sahihi Thuma Ammyn🤲🤲
Muu Mata
May be an image of 2 people, people standing, tree and body of water

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA