WANAUME KUNA VITU LAZIMA MVIELEWE KWA WAKE ZENU.


Walijifunza saa ngapi uwanajeshi na ili kudhibitisha kwamba ni mwanajeshi MUNGU anamtuma kwa mwanamme amlinde.
#Yeremia 31:22 .... Kwa maana BWANA ameumba jambo jipya duniani mwanamke atamlinda mwanamume.
KUMBUKENI HILI WABABA





■Eva kwa Adamu
■Delila kwa Samson
■Ester kwa Ahasuero
■Raheli kwa Labani n.k



Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.

MUNI WALINDENI WAOMBEENI
KWA MAANA HAKUNA MWANAMUME KATILI KWA MKE MNYENYEKEVU.
MUNGU AWALINDE