KUJITUNZA KWA MWANAMKE NDIKO KUNAMPA THAMANI YA KUPATA MUME MWENYE HEKIMA


💯
Kwanza nianze na ;-
👉🏼 HEKIMA YA MWANAUME.
Heshima ya Mwanamke ndiyo humbadili Mwanaume na kujiweka katika usawa wa tabia halisi ya Mkewe📍
Mwanamke anayo nguvu kumbadilisha Mwanaume na kumpeleka kwenye HEKIMA💯
Mwanamke akiwa Mama Mwema anakuwa Mwalimu wa Mtoto/watoto na uzao wake unarudisha heshima kwenye maisha yake ya uzeeni, ndivyo itakavyokuwa kwa Mwanamke akiwa mke mwema huwa nguvu ya Mumewe na Mume wake humtunza mkewe💕
Mpaka hapo unaiona maana halisi ya Mwanamke kujitunza ili anapoianza safari ya maisha yake ajiweke huru kwa Mwanaume mmoja ambaye atampa heshima ya kuitwa MKE🎁
Aina ya ndoa za sasa zimetawaliwa na MALIPIZI YA MAHUSIANO kila mmoja kutafuta namna ya kumuumiza x wake, ndo maana unakuta ndoa za sasa zinaleta FURAHA NA AMANI kipindi cha mwanzo tu na wakiisha kaa mwezi mmoja kila mmoja anaanza kumtafuta x wake ili amfariji kwani ndani kunawaka moto😭
Wanaume kwa uhalisia wao wanaendeshwa na Mwanamke ki tabia ikiwa tu:-
👉 MWANAMKE ANAYO NGUVU NDANI YA MWANAUME 📍
Sio kila Mwanamke anaweza kuwa na nguvu kwa Mwanaume, na hilo linasababishwa na HULKA YA KIUMENI kutamani kila Mwanamke anayekuwa mpya machoni😂😂
HITIMISHO :-
👉 TABIA NJEMA YA MWANAMKE NDIYO HUITENGENEZA AKILI 🧠 YA MWANAUME 📍
Uzuri ama muonekano wa Mwanamke haumfanyi Mwanaume kuwa na HEKIMA maana Mwanaume huona fahari kuwa na MKE MWEMA👌
Mwanamke kuwa Mke mwema Kuna vigezo na sio kila Mwanamke anaweza kupata kibali hicho bali Kuna UPENDELEO MWANAMKE KUWA MKE MWEMA.
#Elista_kasema_ila_sio_Sheria 🔨
May be an image of 2 people and people standing

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA