KUJITUNZA KWA MWANAMKE NDIKO KUNAMPA THAMANI YA KUPATA MUME MWENYE HEKIMA

Kwanza nianze na ;-

Heshima ya Mwanamke ndiyo humbadili Mwanaume na kujiweka katika usawa wa tabia halisi ya Mkewe

Mwanamke anayo nguvu kumbadilisha Mwanaume na kumpeleka kwenye HEKIMA

Mwanamke akiwa Mama Mwema anakuwa Mwalimu wa Mtoto/watoto na uzao wake unarudisha heshima kwenye maisha yake ya uzeeni, ndivyo itakavyokuwa kwa Mwanamke akiwa mke mwema huwa nguvu ya Mumewe na Mume wake humtunza mkewe

Mpaka hapo unaiona maana halisi ya Mwanamke kujitunza ili anapoianza safari ya maisha yake ajiweke huru kwa Mwanaume mmoja ambaye atampa heshima ya kuitwa MKE

Aina ya ndoa za sasa zimetawaliwa na MALIPIZI YA MAHUSIANO kila mmoja kutafuta namna ya kumuumiza x wake, ndo maana unakuta ndoa za sasa zinaleta FURAHA NA AMANI kipindi cha mwanzo tu na wakiisha kaa mwezi mmoja kila mmoja anaanza kumtafuta x wake ili amfariji kwani ndani kunawaka moto

Wanaume kwa uhalisia wao wanaendeshwa na Mwanamke ki tabia ikiwa tu:-


Sio kila Mwanamke anaweza kuwa na nguvu kwa Mwanaume, na hilo linasababishwa na HULKA YA KIUMENI kutamani kila Mwanamke anayekuwa mpya machoni



HITIMISHO :-



Uzuri ama muonekano wa Mwanamke haumfanyi Mwanaume kuwa na HEKIMA maana Mwanaume huona fahari kuwa na MKE MWEMA

Mwanamke kuwa Mke mwema Kuna vigezo na sio kila Mwanamke anaweza kupata kibali hicho bali Kuna UPENDELEO MWANAMKE KUWA MKE MWEMA.
#Elista_kasema_ila_sio_Sheria 
