💍JINSI YA KUMROGA MUME WAKO AKUPENDE DAIMA HATA UKIWA MBALI AKUKUMBUKE KILA MUDA💍*.
_
Chukua Dawa inaitwa *UPENDO WA DHATI* kwake._

_
Changanya na Dawa inaitwa *UNYENYEKEVU NA UPOLE* juu yake._

_
Changanya na Mizizi ya Mti unaitwa *KUTOPANDISHA SAUTI* ukiwa unazungumza nae Zungumza kwa Upole._

_
Hakikisha Unapata na Unga wa Mti unaitwa_ *KUMFARIJI NA KUMPA MOYO ANAPOKUWA NA MITIHANI na MISUKOSUKO* _kamwe Usipende kumpa Lawama._

_
Usisahau kuchanganya na Dawa ya magome ya mti wa *KUMPONGEZA ANAPOFANYA JAMBO ZURI*._

_
Chukua na Mizizi inaitwa *KUMSHAURI MAMBO YA MAENDELEO YA KIMAISHA*_.

_
Changanya na Dawa inaitwa *USAFI, MAPISHI MAZURI NA MAHABA MATAMU CHUMBANI*._

_
Chukua na Dawa nyingine inaitwa *KUWAPENDA NDUGU NA JAMAA ZAKE*._

*Chukua hizo Dawa zote zichanganya kwenye Glass ya Maji ya UKARIMU kisha Mpatie Mume wako Hakika atakupenda Daima.*
*Baadae In shaa allah Nitakuja niwape na Wanaume Dawa ya Kumroga Mke wako.*







