💍JINSI YA KUMROGA MUME WAKO AKUPENDE DAIMA HATA UKIWA MBALI AKUKUMBUKE KILA MUDA💍*.






_🍓Chukua Dawa inaitwa *UPENDO WA DHATI* kwake._
_🌸Changanya na Dawa inaitwa *UNYENYEKEVU NA UPOLE* juu yake._
_🌹Changanya na Mizizi ya Mti unaitwa *KUTOPANDISHA SAUTI* ukiwa unazungumza nae Zungumza kwa Upole._
_🍎Hakikisha Unapata na Unga wa Mti unaitwa_ *KUMFARIJI NA KUMPA MOYO ANAPOKUWA NA MITIHANI na MISUKOSUKO* _kamwe Usipende kumpa Lawama._
_🍒Usisahau kuchanganya na Dawa ya magome ya mti wa *KUMPONGEZA ANAPOFANYA JAMBO ZURI*._
_🍇Chukua na Mizizi inaitwa *KUMSHAURI MAMBO YA MAENDELEO YA KIMAISHA*_.
_🍅Changanya na Dawa inaitwa *USAFI, MAPISHI MAZURI NA MAHABA MATAMU CHUMBANI*._
_💐Chukua na Dawa nyingine inaitwa *KUWAPENDA NDUGU NA JAMAA ZAKE*._
*Chukua hizo Dawa zote zichanganya kwenye Glass ya Maji ya UKARIMU kisha Mpatie Mume wako Hakika atakupenda Daima.*
*Baadae In shaa allah Nitakuja niwape na Wanaume Dawa ya Kumroga Mke wako.*
💍💍💍💍💍💍💍💍

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA