USHINDI WA MAPENZI NI PAMOJA NA KUWA WA KWANZA KUMUACHA MTU MAANA KUACHWA NI UDHAIFU😂😂


Kuna ugonjwa unatembea kwenye mahusiano mengi japo wahusika hawajaujua, leo nataka niwaambia ni ugonjwa gani;-
👉🏼 NI UGONJWA WA WATU KUWAONA WALIO WAACHA NI ZAIDI YA WALIOSABABISHA KUWAACHA WALIOWAPENDA KWA DHATI💯
Mara nyingi MAHUSIANO yanapokosa mvuto kila mtu hutamani kuyaacha ili akaangalie bahati sehemu nyingine, japo hilo sio suruhisho kwa MAHUSIANO ya dunia ya sasa, Unavyolia inaweza kuwa afadhari ya anayelia bila kumuona, Mapenzi hayana vipeuo wala hayanyambuliki📍
Tatizo kubwa ni;-
👉🏼KUINGIA UHUSIANO USIO WAKO ILA KWA SHAUKU YAKO BILA KUJUA KAMA UNA NAFASI MOYONI MWA MTU HUYO.
Neno NAKUPENDA linatamkwa mdomoni, Na maana ya UPENDO inatajwa NAFSINI je utajuaje kama ni wewe?
👉 UPENDO WA DHATI 💘 UNAONGEA ZAIDI YA MATENDO YA UPENDO WENYEWE.
Mtu akikupenda kwa MOYO hachoki kukubeba akilini mwake, Kila Mara atatamani japo akuchokoze tu ili mradi ile sauti ya UPENDO isikike kwako💯
Lakini pia kubakia kwenye MAHUSIANO yanayoumiza ni kuukana MOYO wako, vivyo hivyo kuyaacha MAHUSIANO uliyopo kisa yanaumiza na kuanzisha Mengine ni KUJITAABISHA😂😂😂
Nini kifanyike;-
👉🏼 JITENGE NA MAHUSIANO KWA MUDA UKIJITAFAKARI UNAKWAMA WAPI HATA UNAKOSA MAPENZI YA KWELI🤦🏻‍♂️
Kama hujui kwamba DUNIA tuliyopo Sasa ili upate utakacho yakubidi kugharamia basi wewe endelea kujiamini we mzuri una mashape ama we handsome na six pack yako ili siku ukija kushituka WA FUTURE 🔮 yako alisubiri akachoka akajitwalia LIWALO NA LIWE nawe unajiuliza UMUOE/UOLEWE na nani😂😂😂
Image may contain: 2 people, people standing

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA