WANAWAKE TU: JE WEWE NI MKAVU AU PAPUCHI YAKO HUWA INAKUWA KAVU UKIWA UNANYANDULIWA BASI TIBA HII HAPA
Kwa wale wenye ukavu sana wakati wa kutumikia ndoa basi hii inawahusu
Chukua uwatu wa unga robo kilo kharafu chukua na maji lita moja na nusu
kisha utasonga uji kwa huo unga wote na hayo maji yote upo mwari wewe
hakikisha uji wako usiweke mabuje wala usiwe mzito kama wa ugari uwe mwepesi!!!!!!!
Upo mwari matumizi sasa
Utatumia kipimo cha unazo wa kahawa utakuwa unatumia mala 2 asubuhi na jioni kikombe kimoja mpaka dawa iishe
In shaa Allah kwa uwezo wa Allah huo ukavu utaisha na utalifurahia tendo LA ndoa mwari wangu habali za kulalamika maumivu wakati wa mechi kwisha khabar yake
Waume wakumbushe dawa wake zenu
Mwisho