WANAWAKE TU: JE WEWE NI MKAVU AU PAPUCHI YAKO HUWA INAKUWA KAVU UKIWA UNANYANDULIWA BASI TIBA HII HAPA








Kwa wale wenye ukavu sana wakati wa kutumikia ndoa basi hii inawahusu








Chukua uwatu wa unga robo kilo kharafu chukua na maji lita moja na nusu




Upo mwari matumizi sasa 











Utatumia kipimo cha unazo wa kahawa utakuwa unatumia mala 2 asubuhi na jioni kikombe kimoja mpaka dawa iishe
In shaa Allah kwa uwezo wa Allah huo ukavu utaisha na utalifurahia tendo LA ndoa mwari
wangu habali za kulalamika maumivu wakati wa mechi kwisha khabar yake 




Waume wakumbushe dawa wake zenu
Mwisho