MWANAUME FAHAMU KWAMBA MVUTO NA UZURI WA MWANAMKE ANAISHI NAO KAMA NI WEWE KUMKINAI HAIMAANISHI UBORA WAKE UNATOWEKA MAANA KWA ASIYEMZOEA ANAMUONA MPYA



πŸ’―
Kinacho mtesa Mwanaume Kwenye MAHUSIANO AMA NDOA YAKE NI MAZOEA kwamba zile papara za kumtaka Mwanamke zinapoinuka Mwanaume huwa dhaifu Sana, ndo Maana hata wanawake wanajua wakati mzuri wa kumchuna Mwanaume ni wakati anapohitaji kuona NYAMA ZA SAMBUSA πŸ‘™
Wanaume wengi wameumiza wanawake zao kwa sababu ya KISHINDWA KUKABILIANA NA MIHEMKO YAO kwamba anapohitaji ngono yupo tayari kugharamika, Kuharibu lolote ili tu KIU πŸ˜‹ yake iishe na akipewa atakacho huyapima mate πŸ˜‹ yake juu Mwanamke huyo kama yakizunguka atarudia ila kama mate πŸ˜‹ hayatazunguka moja kwa moja ataendelea kuhitaji Mwanamke mpyaπŸ€”
Kama Mwanamke hujui namna ya kukabiliana na Mwanaume lazima utabakia kuyachukia MAHUSIANO AMA NDOA πŸ’―
Lakini nijuavyo Mie hata ukienda kwa Mwanaume Mwingine tatizo hilo lipo pale paleeee, nijuavyo tofauti ya hawa viumbe ni :-
πŸ‘‰ UKUTANE NA MWANAUME AMBAYE ANAKUPENDA KWA DHATI πŸ’˜
Maana Mwanaume kama analo pendo la dhati kwako Makosa yake yanaelezeka, Kinyume na Mwanaume aliyekuja kwako kwa sababu ya KUSIKILIZA MIHEMKOπŸ˜‚

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA