IJUE SABABU YA WAPENZI KURUDIANA BAADA YA KUACHANA


💯
Kwanza fahamu kwamba:-
👉 MWANZILISHI WA KUTAKA KURUDI NI YULE ALIYE ONDOKA KABLA YA MWENZIE KUKUBARI.
Mtu yeyote aliyeondoka kwa kuamini atakuwa sahihi iwe kwa migogoro au hali ya kutoridhiana na mazingira ya UHUSIANO huyo ndiye huumia zaidi, kwani alikokwenda kama aliweka tumaini kubwa halafu akakutana na tofauti ya aliloamini, Muda mwingi hutaka kurudi kuogopa kuumia kukosa pote 😂😂
Maana ya MAPENZI NI UPENDO kama Mtu aliamua kuondoka huku wewe ukiwa bado UNAMPENDA ni rahisi sana kumpatia nafasi nyingine💯
Na nijuavyo mimi Mtu aliyeachwa humchukuwa Muda kuamini kilichotokea, ndo Maana ni rahisi kwa WABABAIFU kwenda na kurudi wakikuta nafasi zao, Japo kuna hatari katika hilo:-
👉 HAKUNA ANAYE TAKA KUACHWA UKIONA ULIMUACHA NA AKAKUPA NAFASI NYINGINE JISAHIHISHE SAWA SAWA MAANA ANAWEZA KUKUPA NAFASI YA MATAZAMIO NA AKIONA CHENGA ATAKUACHA KIBABE.
Safari nzuri ya MAPENZI ni usawa wa UPENDO 💘
Na kinachokatisha safari ya MAPENZI ni ubinafsi mtu kuamua awe yeye bila kujua MAPENZI NI PANDE ZOOOTE MBILI na kinyume chake ni HASARA YA MOYO 📍
May be an image of text

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA