MWANAUME MJUE MWANAMKE UPATE KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA ZAKE

 

📌
Awali ya yote Ifahamike kwamba MUUNGANIKO WA MWANAMKE NA MWANAUME NI MAPENZI💯
Kwa sababu UPENDO huinuliwa na SHAUKU na kwa vyovyote vile kinachounganisha hawa wawili ni MAPENZI kila upande kuhitaji upande wa pili, Ndo maana UPENDO unabakia kuwa zao la MAPENZI na ndo maana ya MIGOGORO MINGI YA MAHUSIANO PAMOJA NA NDOA NI UPANDE MMOJA KUSHINDWA KUKABILIANA NA MIHEMKO YA KI MWILI YA MWENZA HUSIKA.
Nirejee Kwenye Mada yangu:-
👉 MWANAUME KUMJUA MWANAMKE KATIKA MABADILIKO YA TABIA ZAKE.
Mwanamke ni jinsia, Hivyo kama kuna tofauti ya Mwanamke ni ndogo sana ila kwa asilimia kubwa MWANAMKE ANABAKIA KUWA YULE YULE😂
Mungu amemjaalia Mwanamke kuwa na HITAJI KUU MOJA KWA MWANAUME nalo ni kutaka UPENDO 💘
Ndani ya hitaji hilo la Mwanamke kwa Mwanaume Kuna mlolongo mwingi wa MAHITAJI ikiwemo TIBA YA MWILI pamoja na MATUNZO 🎈
Ndo maana nataka kusema:-
👉 UZURI WA MWANAMKE NI MUONEKANO WAKE.
👉 UTAMU WA MWANAMKE NI AMANI YAKE.
Ukiweza kumtunza Mwanamke anakuwa mzuri na atakuwa mwenye muonekano mzuri Sana kulingana na vile unapenda awe, vivyo hivyo kama Mwanaume atampa AMANI Mwanamke ni rahisi mno kwa Mwanamke kujiachia ki akili pamoja na ki mwili 👙 ili ufaidi aina Tatu za radha yake.
Kama Mwanamke hana AMANI hawezi kuwa na UHURU wa MAPENZI na hapo ndipo utapambaana na ukavu pamoja na baridi, Ila kama ana AMANI huwa ni wa MOTO kwani mwili uko tayari😂😂
Hakuna UCHAWI Kwenye MAPENZI zaidi ya Mtu kuijua haja ya Mwenza wako, iwe Mwanaume hata Mwanamke ni ngoma drooo, Mwanamke ki maumbile ni MSIRI ndivyo zilivyo HISIA zake, na wenye heshima kwa Mwanamke ni wale waliojua HISIA ZA MWANAMKE ZIMEKAA UPANDE GANI💃💃
Mwisho kabisaaa :-
👉 WANAUME TUACHE UGONJWA WA KUMZOEA MWANAMKE KWANI HILO NDILO HUDHOOFISHA HAMU YA KUMHITAJI MWANAMKE ULIYE KWISHA LALA NAE.
Kama ungelijua kwamba hakuna jipya Kwenye kubadili wanawake basi ungemfanya Mwanamke wako awe MPYA KILA SIKU💕
May be a close-up of 1 person

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA