๐Ÿ’ž๐Ÿ’žFAHAMU KUHUSU MWANAMKE✍️✍️๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž

๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž๐Ÿ’žMadame _DORCUS_ nimekuandalia somo hili wewe mwanaume yamkini unaishi na mkeo/mpenzi wako  ila inatakiwa ufahamu kuwa๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž

,๐Ÿ’ž๐Ÿ’žMwanamke ni kiume wa aina yake na Mungu katika kumuumba alimpa akili ya pekee sana, ndio maana hata vitabu vya dini vinasema uishi nae kwa akili.๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž

๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž๐Ÿ’žNasema akili kwa kuwa mwanamke hajapewa nguvu kama   ww maana ww unaweza mpiga ila yeye akatumia akili yake na ukabaki unashangaa tu.๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž

๐Ÿ’ž๐Ÿ’žFamilia nyingi zilizofahanikiwa nyuma yake kuna mwanamke, kama unapingana hilo fatilia utapata majibu mazuri. Au hujawahi ona mtu anamtesa mkewe halafu anamfukuza maisha yake yanabadilika ghafla ww ubadhani ni kwa nn? Amka usingizini๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž

๐Ÿ’ž๐Ÿ’žMwanamke akikupenda anaweza fanya chochote kwa ajili yako au anaweza ishi na ww bila kujali unamaisha ya aina gani, unaweza ukakuta hadi marafiki au watu wanamshangaa kufikria kakupendea nn? Ila ndio upendo huo.๐Ÿค๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž

๐Ÿ’ž๐Ÿ’žNa hata kama utamtesa au utamtukana ataendelea kukukpenda tu maana  hana mbio kwako.

๐Ÿ’ž๐Ÿ’žUnaweza ukawa unamcheat atavumilia akiamini ipo siku utabadilika na kumpenda tena,Lakini kadri unavyozidi kumnyanyasa,kumpiga na kumtukana tambua ipo siku atachoka.๐Ÿ˜ž๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž

๐Ÿ’ž๐Ÿ’žHapo sasa akishachoka mwanamke mara nyingi huwa harudi nyuma hata kama hataondoka kwako ila dharau na kiburi huwa vinafanya kazi hapo sasa unaweza sema mke wangu anadharau ila huwezi jua wewe ndio sababu.๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž

๐Ÿ’ž๐Ÿ’žHapo umemtambua mwanamke maana nmemzungumzia mwanamke mwenye upendo wa dhati kabisa.๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž

๐Ÿ’žMPENDE MKEO PENDA FAMILIA YAKO ILI UDUMISHE NDOA YAKO๐Ÿ’ž

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA