Fahamu mambo unayotakiwa kuyaepuka wakati Wa kwenda kulala na mmeo
KARIBU KATIKA SOMO✍️✍️✍️✍️
Madame Dorcus nmekuandalia somo hili👇👇
❤💋💋❤💋❤💋❤
*fahamu mambo unayotakiwa kuyaepuka wakati Wa kwenda kulala na mmeo*
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
👉kama mke unatakiwa kuepuka tabia hizi pindi uingiapo chumbn kulala na mmeo
❤kwenda kulala mda (wakati) tofauti na mmeo
👉Mme kalala chumban wewe upo sebulen au wewe unaanza kulala kabla ya mmeo
❤kuwa bize na simu au tv ukiwa kitandan
👉hii utafsiliwa kama dharau yaan umemdharau mmeo👌
❤kupanda kitandani ukiwa mchafu
👉ujaoga au hujajisafisha uke,ujanyoa mavuz, hii umfanya Mme akinai kufany mapenz na wewe
❤kulala kitandani na Mme huku unahasira
👉hii utafsiriwa kuwa unakiburi na umemchoka Mme👌
❤kuwa bubu chumbani
👉upo na mmeo kitandani upo kimya mda wote, upo serious km upo na kaka yako👉hii umfanya Mme hakose hamu ya kukuanza
❤kutoa visingizio Mme akionyesha kutaka mzigo
👉hii ndio hatar kbs hupelekea Mme kuchepuka,
mmeo apagawe kwako.