๐ŸŒนMAMBO AMBAYO YATAMFANYA MUMEO/MPENZI WAKO AKUCHOKE ๐ŸŒน


KARIBU KATIKA SOMO LETU. ✍️✍️


*----•<°○●๐Ÿƒ๐Ÿ‡๐Ÿƒ●○°>•----*

๐Ÿƒ๐Ÿ‡Uzuri wa mwanamke unapatikana kwenye ulimi wake.Tuache tabia ya jeuri na maneno machafu,kiburi na dharau hakika tabia hizi zinamchukiza kila mwenye akili.

*๐Ÿƒ๐Ÿ‡KAZI KWANZA*

Baadhi yetu tunathamini na kujali kazi zetu na hatuna muda na mahusiano yetu.

*๐Ÿƒ๐Ÿ‡WATOTO KWANZA MUME BAADAE* (KWA WANANDOA)

Kuna baadhi yetu tukishakupata watoto mapenzi yote yanaelekea kwa watoto na tunamsahau baba watoto.

*๐Ÿƒ๐Ÿ‡KUTOKUA NA SHUKRANI*

Hii ni tabia sana itayomchokesha mumeo na aondoshe mapenzi kwako, kua na shukrani kwa yale anakufanyia ndipo atakapopata moyo wa kukufanyia makubwa zaidi.

*๐Ÿƒ๐Ÿ‡KUTOKUA MUELEWA*

Kuna baadhi yetu tunakua ving'ang'anizi na tukitaka kufanya letu hata tukakatazwa hatuskii wala hatujali kua tumeolewa tuwe wenye kutii waume zetu.

*๐Ÿƒ๐Ÿ‡USIRI*

Tuko baadhi yetu tunakua tunawaficha waume zetu kila kitu hatuwafanyi wao kua ndio washauri wetu.

*๐Ÿƒ๐Ÿ‡KUKOSOA KILA JAMBO*

Tuache tabia ya kukosoa na kugombana Kwa kila jambo ,hata akikosea mueleweshe Kwa njia za kistaarabu.

*๐Ÿƒ๐Ÿ‡KUTAKA WEWE UWE BOSS*

Mungu aliyetukuka amewapa cheo wawe viongozi wetu na wasimamizi kwetu hatuna budi kulikubali hilo,acha kujifanya wewe ndio Kichwa cha nyumba lazima umheshimu na ajue kua anaheshimiwa .
 

#KUMBUKA๐Ÿƒ๐Ÿ‡ Hekima yako inaweza kubadilisha tabia  mbaya MPENZI wako kwa asilimia kubwa.Pia ujeuri sio dili jamani tubadilike katika hili.๐Ÿ™๐Ÿ™

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA