🌹MAMBO AMBAYO YATAMFANYA MUMEO/MPENZI WAKO AKUCHOKE 🌹


KARIBU KATIKA SOMO LETU. ✍️✍️


*----•<°○●πŸƒπŸ‡πŸƒ●○°>•----*

πŸƒπŸ‡Uzuri wa mwanamke unapatikana kwenye ulimi wake.Tuache tabia ya jeuri na maneno machafu,kiburi na dharau hakika tabia hizi zinamchukiza kila mwenye akili.

*πŸƒπŸ‡KAZI KWANZA*

Baadhi yetu tunathamini na kujali kazi zetu na hatuna muda na mahusiano yetu.

*πŸƒπŸ‡WATOTO KWANZA MUME BAADAE* (KWA WANANDOA)

Kuna baadhi yetu tukishakupata watoto mapenzi yote yanaelekea kwa watoto na tunamsahau baba watoto.

*πŸƒπŸ‡KUTOKUA NA SHUKRANI*

Hii ni tabia sana itayomchokesha mumeo na aondoshe mapenzi kwako, kua na shukrani kwa yale anakufanyia ndipo atakapopata moyo wa kukufanyia makubwa zaidi.

*πŸƒπŸ‡KUTOKUA MUELEWA*

Kuna baadhi yetu tunakua ving'ang'anizi na tukitaka kufanya letu hata tukakatazwa hatuskii wala hatujali kua tumeolewa tuwe wenye kutii waume zetu.

*πŸƒπŸ‡USIRI*

Tuko baadhi yetu tunakua tunawaficha waume zetu kila kitu hatuwafanyi wao kua ndio washauri wetu.

*πŸƒπŸ‡KUKOSOA KILA JAMBO*

Tuache tabia ya kukosoa na kugombana Kwa kila jambo ,hata akikosea mueleweshe Kwa njia za kistaarabu.

*πŸƒπŸ‡KUTAKA WEWE UWE BOSS*

Mungu aliyetukuka amewapa cheo wawe viongozi wetu na wasimamizi kwetu hatuna budi kulikubali hilo,acha kujifanya wewe ndio Kichwa cha nyumba lazima umheshimu na ajue kua anaheshimiwa .
 

#KUMBUKAπŸƒπŸ‡ Hekima yako inaweza kubadilisha tabia  mbaya MPENZI wako kwa asilimia kubwa.Pia ujeuri sio dili jamani tubadilike katika hili.πŸ™πŸ™

Previous Post Next Post