๐นMAMBO AMBAYO YATAMFANYA MUMEO/MPENZI WAKO AKUCHOKE ๐น
KARIBU KATIKA SOMO LETU. ✍️✍️
*----•<°○●๐๐๐●○°>•----*
๐๐Uzuri wa mwanamke unapatikana kwenye ulimi wake.Tuache tabia ya jeuri na maneno machafu,kiburi na dharau hakika tabia hizi zinamchukiza kila mwenye akili.
*๐๐KAZI KWANZA*
Baadhi yetu tunathamini na kujali kazi zetu na hatuna muda na mahusiano yetu.
*๐๐WATOTO KWANZA MUME BAADAE* (KWA WANANDOA)
Kuna baadhi yetu tukishakupata watoto mapenzi yote yanaelekea kwa watoto na tunamsahau baba watoto.
*๐๐KUTOKUA NA SHUKRANI*
Hii ni tabia sana itayomchokesha mumeo na aondoshe mapenzi kwako, kua na shukrani kwa yale anakufanyia ndipo atakapopata moyo wa kukufanyia makubwa zaidi.
*๐๐KUTOKUA MUELEWA*
Kuna baadhi yetu tunakua ving'ang'anizi na tukitaka kufanya letu hata tukakatazwa hatuskii wala hatujali kua tumeolewa tuwe wenye kutii waume zetu.
*๐๐USIRI*
Tuko baadhi yetu tunakua tunawaficha waume zetu kila kitu hatuwafanyi wao kua ndio washauri wetu.
*๐๐KUKOSOA KILA JAMBO*
Tuache tabia ya kukosoa na kugombana Kwa kila jambo ,hata akikosea mueleweshe Kwa njia za kistaarabu.
*๐๐KUTAKA WEWE UWE BOSS*
Mungu aliyetukuka amewapa cheo wawe viongozi wetu na wasimamizi kwetu hatuna budi kulikubali hilo,acha kujifanya wewe ndio Kichwa cha nyumba lazima umheshimu na ajue kua anaheshimiwa .
#KUMBUKA๐๐ Hekima yako inaweza kubadilisha tabia mbaya MPENZI wako kwa asilimia kubwa.Pia ujeuri sio dili jamani tubadilike katika hili.๐๐