🌺SIFA ZA BINTI ANAETAKIWA KUOLEWA🌺.
Madame Dorcus nimekuandalia somo.🙄🙄
🌺👉Mwenye upendo wa dhati na sio tamaa
🌺👉Msafi na kwenye kutunza mazingira ya nyumbani
🌺👉Mkarimu anayependa kuwasiliana ana ushirikiano mzuri na wenzake wazazi na jamii inayomzunguka
🌺👉Usiwafukuzie mwanaume acha waone thaman yako yako hapo itakuwa umejijengea msingi lakini ukijichekesha kwao si jambo zuri.
🌺👉Wanaume wanathamini kile walichokihangaikia kwa tabu,lakini vya kupata kiurahisi wap huvishusha thamani jitunze,jiamini,jikubali na jipende wewe kama binti.
👉Mcha Mungu(Maana ndoa inachangamoto nyingi inahitaji Dua na maombi ya kutosha kuombea ndoa na familia)🤲👏
🌺👉Mwenye maonyo na mfanikishaji wa mipango sio umepata mchumba kila sàa unapiga simu
🔹naomba ya salon
🔹nataka kwenda out,
🔹mama yangu anaumwa
🔹nataka kwenda kwa shangazi wiki ijayo
Binti huyu si mfanikishaji wa mipango
Anayejua kupika,anayependa kujifunza hata kama hajui kupika.