TUNACHUKIANA tunasemana vibaya tunadharauliana wakati mwingine sivyo tunavyotafsiriana vibaya ila niuwelewa wetu tu mdogo.


Kifupi kabla huja jaza lawama oooh sikuhizi hakuna mapenzi oooh siku hizi wapenzi waongo naomba nikuulize je unamjua mtu mwenye mapenzi ya kweli na mwenye kujali na kuthamini

