🔥Wanawake wenzangu Mnajua sababu kwanini Wanaume wengi siku hizi Hawaoi
Wanawake wenzangu Mnajua sababu kwanini Wanaume wengi siku hizi Hawaoi? Tukiachana na Kujiona sana sisi wanawake.... Inatakiwa Pia tutambue Haya
1. Mwanaume Anapenda Mwanamke anayejiheshimu
2. Mwanaume Anapenda Mwanamke ambaye ni Mvumilivu
3. Mwanaume Anapenda Mwanamke anayejari na Kuthamini
4. Mwanaume Anapenda Mwanamke Mwenye Mawazo Chanya (Future Vision)
5. Mwanaume anapenda Kutodharauliwa
6. Mwanaume Anapenda Maamuzi yake yaheshimiwe
7. Mwanaume Anapenda Mwanamke anaye Rizika
8. Mwanaume Anapenda Kubembelezwa
9. Mwanaume anapenda Kusikilizwa
10. Mwanaume yoyote hapendi Mwanamke anayejiona na anayejiskia
Mwanamke Bora ni Yule anayejua Thamani ya Mwanaume na si yule anayejua Kipato cha Mwanaume. Naona Leo niishie Hapa, Yatupasa Tujitambue, na Tuache tamaa zisizo na Faida