KILA MSAADA ANAO TOA MWANAUME KWENDA KWA MWANAMKE LENGO LAKE KUU HUWA NI KUMUWEKA KARIBU ILI AFANYE NAE NGONO.




Wanaume huwa Ni viumbe ambao kidogo Mungu kawaumba tofauti Tena wenye hisia za ajabu Sana,wanaume kila baada ya Dakika mbili Lazima wafikirie ngono,na hii siyo dhambi Wala ubaya,hapana,Bali ndo Mungu alivyo waumba.

Yani mwanaume anaweza kumtazama mdada wa watu aliye jivalia hijabu,akamvua Ile hijabu kwa hisia na akambakisha uchi 😆😆😆.

Kwa hiyo tunaweza kusema Mungu kawapendelea Wanaume Mana wao muda wote wako kikazi ndo Mana wao hata wakimwona kichaa wakike kakaa uchi wanaweza kusisimka (Kudind,,,,sh)

MWANAUME ANAWEZA KUTOA MISAADA KAMA HII KWAKO ILA LENGO LAKE IKIWA NI NGONO TU.

👉Anaweza kukusaidia kukushikia mtoto ndani ya Gari Ila lengo lake mkifika mwisho wa kituo akuombe namba ili aweze kukupata.

👉Mwanafunzi wa kike unaweza maliza Field katika ofisi flani,Ila kabla ya kuondoka ukaambiwa na Bosi kuwa Hata ukimaliza chuo njoo hapa ufanye kazi tutakuwa tunakupa ya chai,kumbe lengo Ni akupate tu.

👉Mdada unaweza kuwa umefiwa na mumeo Ila ukashangaa siku ya msiba akaja mwanaume akawa anajitolea vitu vingi,siyo kwamba kaguswa na msiba,Hapana,lengo Ni umuone Ni mtu mwema ili akupate😆😆.

👉Mwanaume anaweza kwenda kanisa flani akatangaza kuwashonea sare Wana kwaya wote wa kanisa Hilo,Ila lengo ikiwa Ni kupita nao,Mana si wanajua ana hela🤣🤣.

👉Hua nasema hakuna, mwanaume asiyejua kupenda, wote wanajua ndio maana huyo anayekusumbua sasahivi, wakati anakufuatilia alikuonyesha mapenzi kama yote ila alipokufunua chupi yako, hana tena muda na wewe saivi kuna mwanamke mwenzio huko anapewa huo muda..

👉Usije kuhangaika na mwanaume mpya ukamuona wako wa zamani hana maana japo anakujali na kukusikiliza pamoja na kukuvua chupi yako,, ukamdharau kwa ujinga wa mwanaume mpya anayekuchatisha sana, simu, sana zawadi sana, wosia sana... Ukweli utaujua baada ya kukuvua chupi.

👉Halafu mbona binti hutaki kujifunza toka umeona wanaume wa kujali hivyo, ilikuaje baada ya kukulala jifunze

siyo kwa wanaume wote,Bali Kuna wanaume baadhi tu huwa Wana mbinu balaa.

Yani mwanaume unakuta hatongozi Ila mbinu zake tu hujikuta wadada wengi nguo zao za ndani Zina vuliwa

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA