SOMO ILI LIKASAIDIE SANA WADADA


Umeona eeeh inasaidia hata ukitaka omba ujue ulikosea wapi na jinsi ya kuomba
Wengi wamekuja inbox sema asante mwalimu tumegundua tunateseka kumbe sababu waume za watu ..
Masomo kama ya kawaida ila yamesaidia mwombaji mmoja akiamka anajia omba toba rehema za Mungu atoke kwenye laana izo
Uwezi olewa kama upo kwenye laana na imekuingia ulilala na mume wa mtu mke wake akafanya maombi Mungu akajibu ile laana ikakuvaa mpaka itoke
Somo
Utakuja logwa ingilia ndoa za watu ubreed mwaka mzima ...
Hakuna hospital inaweza kukutimu na wengi imewatokea kuwa makini sana bado ayajakukuta jifunze kwa wenzako
Vitu vya makusudi maombi ayata kusaidia hata kama unaomba mpaka unapaa juu ukila vya watu unakuwa uko chini ya mamlaka yao wamaweza kukufanya lolote na maombi yako ayawezi kukusaidia
Unatembea na mume wamtu unasema wakinologa ntaomba twende tu
Utalogwa mafunza chini uko kunuka twende bado ayajakukuta soon
MAOMBI UNAFANYA WASHA MOTO KEMEA KILE KINAKULA FURAHA YA NDOA YAKO KAMA KUNA MTU ANATEMBEA NA MUMEO ANAENDA PATA ADHABU YA MUNGU WANAWAKE WENGI WANAOTEMBEA MA WANAOTEMBEA NA WAUME ZA WATU AWAJUI KUMBE WANAWEZA ONA MIKOSI MATESO KUMBE SABABU YA KUCHUKUA WAUME ZA WATU MKE ANAPOSONONEKA KWELI NAKUAMBIA MUNGU AKIACHI SALAMA WEWE MCHUKUA MUME WA MTU HATA MZIMU YA KWAO MWANAMKE WEWE USIOMBEE WALE WACHAWI NDIO HATARE
SOMA HUYU DADA ALIFANYA KUOMBA MAOMBI YAKAMTOKEA NINI MCHEPUKO
Hello hbr za mchana,,ubarikiwe mtumishi mchana huu nimepata simu mtu amenipigia akiniomba Sana msamaha,,akanisihi niahidi kumsamehe ndipo ataniambia yeye Ni Nani,,Basi nikamuambia kwa chochote utakachosema nimekusamehe,,akasema yeye Ni mchepuko wa mume wangu na Amekua naye kw muda mrefu alikua akimuambia vitu vingi vya uongo kuhusu Mimi Ila amenipigia maana ameanza ku bleed mchana huu anableed Sana mpaka amepelekwa hosp,,,nikamuambia nimekusamehe,,,Mimi sikuwa namfahamu Ila nimepitia mateso mengi sana,Jana wakati wa maombi ya usiku nilifuata muongozo na nikamwambia Mungu nimechoka na haya ninayopitia Basi km yupo anayesababisha haya akutane na hasira ya Mungu niliomba kwa uchungu Sana na nikiwa nalia Sana,,,Namshukuru Mungu Sana kwa kunijibu kwa haraka hivi,,Mume wangu alikua ananiona km takataka nashangaa asubuhi amenisalimia vizuri na hajatoka Leo yupo tu anazungukazunguka km mtu asiye na pakwenda,,Mungu akubariki Sana kwa kuanzisha maombi haya tangu nimeingia humu na kushiriki maombi haya ya usiku maisha yng yanaimarika nilishakata tamaa kabisa,
Alafu aliniona namkaba usiku🤣🤣kwa hiyo km namloga nimsamehe,,nikamuambia dada Mimi ninamuomba Mungu namlilia Mungu
,Mungu awabariki sana🙏🏻
ASILIMIA 90
AMKA KUOMBA 😭😭😭😭😭USIKU
TULITEMBEA NA WAUME ZA WATU AU WAKE ZA WATU
WAKE AU WAUME ZAO WALIKUJUA NA WAKATUJUA
WAKATAMKA VITU AU WAKAFANYA VITU TUKAPATA LAANA MPAKA LEO ..
PATA PICHA ULIKUWA UNATEMBEA NA MUME WA MTU NA MKE WAKE MLOKOLE ALIOMBA MAOMBI MAGUMU ZIDI YA LAANA MTU ANAYESABABISHA NDOA YAKE IWE NA SHIDA NA IZO LAANA ZINAKUTESA WEWE UOLEWI AU KAZI ZAKO GUNDU JE KWA WALE WALIENDA KWA WAGANGA
Waebrania 13:4
[4]Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
Uliingia kwenye ndoa ya mtu 😭👉🏽😭 MUNGU ANASEMA ATAWAHUKUMIA ADHABU
ULILALA NA MKE WA MTU AU MUME WA MTU UKO KWENYE ADHABU BARAKA ZA MUNGU UWEZI PATA
USIKU WA LEO TUTAENDA OMBA TOBA TULIO WAIFANYA HAYA 😭😭😭😭😭USIRUDIE SHINGO YA MUNGU ILIGEUKA KULE TUTAOMBA SHINGO YAKE ITUANGALIE USIKU HURUMA ZAKE ZIWE NASI
😭😭😭YUKO AMBAYE ANATAMANI KUOLEWA KUMBE KAJIWEKA MWENYEWE KWENYE LAANA ASIOLEWE KUMBE HAPO ULIPO UPO KWENYE NDOA TENA SIO MOJA 😭😭😭😭
ULIKUWA UNAJIULIZA MBONA SIOLEWI SIKU YA LEO UMEPATA JIBU KWAMBA SIO MUNGU AJAKUPA MUME WEWE SIO MUNGU 😭😭😭😭😭😭
Ulikuwa waomba Mungu nipe mume 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭kumbe shida sio Mungu
Soma 👇🏽
Yohana 4:13,16-19
[13]Yesu akajibu, akamwambia, Kila anywaye maji haya ataona kiu tena;
[16]Yesu akamwambia, Nenda kamwite mumeo, uje naye hapa.
[17]Yule mwanamke akajibu, akasema, Sina mume. Yesu akamwambia, Umesema vema, Sina mume;
[18]kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siye mume wako; hapo umesema kweli.
[19]Yule mwanamke akamwambia, Bwana, naona ya kuwa u nabii!
Omba toba acha ujaolewa sio laana ya Mungu au ukoo wenu ni laana yako binafsi ulijitengenezea 😭😭😭😭
May be an image of 1 person, standing, car and outdoors

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA

DOWNLOAD APP YETU GOOGLE PLAY BONYEZA HAPA