💥FACEBOOK YAINGIA HASARA

TEE

 


✍️Kwa masaa 6 ambayo mitandao ya Whatsapp,Instagram na Facebook inayomilikiwa na Mark Zuckerberg iliopotea hewani duniani kote, kampuni ya Facebook imeripotiwa kupata hasara ya $ 7 bilioni (Zaidi ya Tsh.Trillion 15)
Mark amesema tatizo la kiufundi wakati wana update lilipelekea kupotea kwa D.N.S pale walipokuwa wakiipata baada ya kuifanyia maboresho.
#Wewe umepata hasara kiasi gani kwa muda huo?
May be a meme of 2 people, people standing and text that says "The Goal is to be Rich LOWELL Not to look Rich"
Tags

Made with Love by

Pixy Newspaper 11 Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are availabl…
To Top