💥FACEBOOK YAINGIA HASARA

 


✍️Kwa masaa 6 ambayo mitandao ya Whatsapp,Instagram na Facebook inayomilikiwa na Mark Zuckerberg iliopotea hewani duniani kote, kampuni ya Facebook imeripotiwa kupata hasara ya $ 7 bilioni (Zaidi ya Tsh.Trillion 15)
Mark amesema tatizo la kiufundi wakati wana update lilipelekea kupotea kwa D.N.S pale walipokuwa wakiipata baada ya kuifanyia maboresho.
#Wewe umepata hasara kiasi gani kwa muda huo?
May be a meme of 2 people, people standing and text that says "The Goal is to be Rich LOWELL Not to look Rich"

Previous Post Next Post