JINSI TABIA ZINAVYOWEZA KUKUHARIBIA NDOA YAKO/MAHUSIANO
Kuna nyakati unaweza ukawa unalalamika kwanini Mume/Mke wako amepunguza mashamsham ya Mapenzi au ukimpata Mwanaume/Mwanamke anakuacha kwenye atua za awali za uchumba, au ndoa yako inateteleka, kumbe tatizo ni tabia zako ndizo zinakukosesha baraka zako.
.
.

Hawa huwa chukizo kwenye NDOA, na endapo atakuwa nae basi ni kwaajili ya tamaa za kimwili tu, au alimpenda sana Mume/Mke wake kiasi kwamba anashindwa kumuacha, lakini bado moyoni anakuwa anasononeka juu ya huyu Mume/Mke wake
.

Huwa hana heshima, hana utiifu, hana adabu kwa Mumewe.
Mwanaume yeyote mwenye akili timamu huwa anachukia kutawaliwa, hivyo Mwanamke alie mbabe, mpenda kutawala, huwa ni chukizo kwake.
.

.


Kila kitu anataka asikilizwe yeye tu, Mume /Mke wake atakalosema/shauri linaonekana halina kichwa wala miguu.
Haambiliki, mkurupukaji, kila kitu "Niache ", hashauriki.
.

.

.

Anapenda kukuhukumu kuendana na historia yako ya nyuma .
.

Wivu ndio Mapenzi, lakin huyu ana wivu kupitiliza, atapekua simu ya Mume/Mke wake au atapenda kumfuata nyuma nyuma, kufatilia kila mahali na akimkuta ni varangati muda wote, atapenda kuuliza "Huyu nani, kwanini ulikua unaongea na flani", ugomvi ndani kila saa, kuhojiana kila wakati.
.

Hataki ndugu, hataki wazazi, hataki wafanyakazi, anataka muda wote awe yeye tu.
.

Mfano: Ndugu wakija watashindia maembe, lakini yeye atakula na kufurahi kivyake.
Huwa anajiwazia yeye tu, vyake tu, hawazii wengine, vyake huwa vyake na vyako huwa vyake pia.
.


.

Hachelewi kumtangaza Mumewe kama ana kibamia, hana hela, kafanya hivi mumewe. Au kusema Mke wake ni bwawa la samaki wa kufungwa
Akikosana na Mume/Mke wake basi marafiki, ndugu, wazazi, majirani, wote watajua kama amegombana na Mume/Mke wake kwasababu fulani.
Haya jichunguze wewe Una tabia gani 
na uanze kubadilika.


Aidha ili uilinde Ndoa yako, au kama hujaolewa/kuoa bado basi ili upate wa Mwenza atakaye vutiwa na tabia zako.
UJUMBE UMEFIKA